Tuesday, 16 January 2018
Shule ya Msingi Kivukoni iliyopo katika kata ya Shanwe Manispaa ya Mpanda Mkoa wa Katavi inakabiliwa na upungufu wa vyumba vya Madarasa pamoja na vyoo vya kutosha katika shule hiyo.
MPANDA
Shule ya Msingi Kivukoni iliyopo
katika kata ya Shanwe Manispaa ya Mpanda Mkoa wa Katavi inakabiliwa na upungufu
wa vyumba vya Madarasa pamoja na vyoo vya kutosha katika shule hiyo.
Kwa upande wa
Mwalimu wa taaluma katika shule hiyo Aminael Mwanga amekili kuwepo kwa tatizo
hilo huku akiziomba mamlaka kuingilia kati.
Shule ya Msingi Kivukoni ina
zaidi ya wanafunzi 1400 mpaka sasa.
Chanzo:Paul Matius
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Featured post
MASIKINI WEEE!!!!! KICHANGA CHA SIKU MOJA CHAOKOTWA KATIKA KIWANJA CHA MPIRA AZIMIO
Na;Ezelina Yuda Mtoto mchanga mwenye jinsia ya Kike anayekadiriwa kuwa wa siku 1 ameokotwa akiwa hai kandokando ya uwanja wa azimio ...

-
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda akitembelea Meli hiyo. DAR ES SALAAM Meli kubwa ya Jeshi la Jamhuri ya China yen...
-
NSIMBO Soko la Katumba Mnyaki linalomilikiwa na halamshauri ya Wilaya ya Nsimbo Mkoani Katavi halina choo tangu kuanzishwa kwake hali...
-
KATAVI Shule ya msingi Misunkumilo iliyopo Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi inakabiliwa na uhaba wa vyumba vya madarasa na madawati...
No comments:
Post a Comment