Sunday, 2 July 2017
Hatimae taifa star yatinga nusu final.
Timu taifa la Tanzania taifa star yatinga nusu final baada ya kuwafunga timu ya taifa la africa ya kusini bafanabafana ambae nimwenyeji wa mashindano ya cosafa kwa goli lilifungwa na mshambuliaji Elias maguli katika dakika ya 18 katika kipindi cha kwanza mpaka mwasho taifa star imetoka kifua mbele kwa goli moja kwa bila.
Pia mshambuliaji wa timu ya taifa ya Tanzania Elias Maguli amechaguliwa kuwa mchezaji wa bora mechi ya hiyoo kati ya taifa star na bafanabafana ambao in wenyeji wa mashindano ya cosafa ya mwaka 2017.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Featured post
MASIKINI WEEE!!!!! KICHANGA CHA SIKU MOJA CHAOKOTWA KATIKA KIWANJA CHA MPIRA AZIMIO
Na;Ezelina Yuda Mtoto mchanga mwenye jinsia ya Kike anayekadiriwa kuwa wa siku 1 ameokotwa akiwa hai kandokando ya uwanja wa azimio ...

-
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda akitembelea Meli hiyo. DAR ES SALAAM Meli kubwa ya Jeshi la Jamhuri ya China yen...
-
MLELE Shule ya msingi kusa iliyopo katika kijiji cha Kanoge kata ya utende Halmashauri ya wilaya ya Mlele mkoa wa Katavi inatalajia k...
-
NSIMBO Soko la Katumba Mnyaki linalomilikiwa na halamshauri ya Wilaya ya Nsimbo Mkoani Katavi halina choo tangu kuanzishwa kwake hali...
No comments:
Post a Comment