Wednesday, 13 December 2017

Baadhi ya WaKazi Mkoani Katavi wameelezea kupanda kwa bei za bidhaa mbali mbali ikiwemo vyakula katika msimu huu wa sikukuu .


MPANDA

Baadhi ya WaKazi   Mkoani Katavi wameelezea  kupanda kwa bei za bidhaa mbali mbali ikiwemo vyakula  katika msimu huu wa sikukuu .

Wakizungumza na Mpanda redio fm kwa nyakati tofauti wamesema wafanya biashara huutumia msimu huo kama sehemu ya kujinufaisha na kuwaumiza watu wa kipato cha chini.

Lakini  wafanyabiashara  wengi wanadai kuwa tatizo la upandishaji wa bei kiholela katika msimu  wa sikukuu hufanywa na wafanyabiashara wakubwa kwa hiyo wao hukosa namna.

Mara kwa mara serikali imekuwa ikizitaka mamlaka zinazo husika na udhibiti wa mfuko wa bei kiholela kuchukua hatua za kisheria kwa wafanyabiashara wanao kumbwa na kadhia hiyo.


Chanzo: EATV.

No comments:

Featured post

MASIKINI WEEE!!!!! KICHANGA CHA SIKU MOJA CHAOKOTWA KATIKA KIWANJA CHA MPIRA AZIMIO

Na;Ezelina Yuda Mtoto mchanga mwenye jinsia ya Kike anayekadiriwa kuwa wa siku 1 ameokotwa akiwa hai kandokando ya uwanja wa azimio  ...