![]() |
Friday, 16 February 2018
Kamanda Muliro amesema wamemchukulia hatua za kinidhamu askari polisi wake ambaye jina lake halijawekwa wazi kufuatia kuonekana akichukua rushwa kwenye video za mitandaoni.
DAR ES SALAAM
Kamanda wa
Polisi wa mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni, Muliro J. Muliro amesema wamemchukulia
hatua za kinidhamu askari polisi wake ambaye jina lake halijawekwa wazi
kufuatia kuonekana akichukua rushwa kwenye video za mitandaoni.
Akithibitisha
juu ya kuchukua za kinidhamu kwa askari huyo Kamanda Muliro amesema ni kweli
Jeshi la Polisi limechukua maamuzi hayo kwa askari huyo ambaye hakutaka kutaja
jina lake
Chanzo:EATV
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Featured post
MASIKINI WEEE!!!!! KICHANGA CHA SIKU MOJA CHAOKOTWA KATIKA KIWANJA CHA MPIRA AZIMIO
Na;Ezelina Yuda Mtoto mchanga mwenye jinsia ya Kike anayekadiriwa kuwa wa siku 1 ameokotwa akiwa hai kandokando ya uwanja wa azimio ...

-
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda akitembelea Meli hiyo. DAR ES SALAAM Meli kubwa ya Jeshi la Jamhuri ya China yen...
-
NSIMBO Soko la Katumba Mnyaki linalomilikiwa na halamshauri ya Wilaya ya Nsimbo Mkoani Katavi halina choo tangu kuanzishwa kwake hali...
-
Kibao cha shule ya msingi nsanda iliyopo katumba B Shule ya msingi nsanda iliyopo kata ya kanoge halmashauri ya nsimbo mkoan katavi ...
No comments:
Post a Comment