Friday, 16 February 2018
Wakazi wa kijiji cha Manga katika Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi,wameiomba serikali kuwaongezea mabomba ya maji ili kuendana na idadi ya wananchi waliopo katika kijiji hicho.
MPANDA
Wakazi wa
kijiji cha Manga katika Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda Mkoani
Katavi,wameiomba serikali kuwaongezea mabomba ya maji ili kuendana na idadi ya
wananchi waliopo katika kijiji hicho.
Kwa mjibu
wa serikali ya awamu ya tano ya jamhuri ya muungano wa Tanzania ni kuwa maeneo
yote nchini yanatarjiwa kuwa na maji kwa asilimia 95 ifikapo mwaka 2020.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Featured post
MASIKINI WEEE!!!!! KICHANGA CHA SIKU MOJA CHAOKOTWA KATIKA KIWANJA CHA MPIRA AZIMIO
Na;Ezelina Yuda Mtoto mchanga mwenye jinsia ya Kike anayekadiriwa kuwa wa siku 1 ameokotwa akiwa hai kandokando ya uwanja wa azimio ...

-
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda akitembelea Meli hiyo. DAR ES SALAAM Meli kubwa ya Jeshi la Jamhuri ya China yen...
-
MLELE Shule ya msingi kusa iliyopo katika kijiji cha Kanoge kata ya utende Halmashauri ya wilaya ya Mlele mkoa wa Katavi inatalajia k...
-
NSIMBO Soko la Katumba Mnyaki linalomilikiwa na halamshauri ya Wilaya ya Nsimbo Mkoani Katavi halina choo tangu kuanzishwa kwake hali...
No comments:
Post a Comment