Wednesday, 17 January 2018
TRA katika Halmashauri ya manispaa ya Mpanda imekusanya mapato kufikia 78% tofauti na ilivyo kuwa mwezi wa kumi na moja mwaka jana.
MPANDA
Makusanyo
yamapato katika Halmashauri ya manispaa ya Mpanda yameongezeka nakufikia 78%
tofauti na ilivyo kuwa mwezi wa kumi na moja mwaka jana ambapo walikusanya
shilingi milioni 370.
Aidha
Mola amesema kumekuwepo na changamoto kwa baadhi ya wafanyabiashara kuwa wazito
katika kutoa kodi na kuwaommba kujenga tabia ya kulipa kodi hali ambayo
itasaidia kukuza uchumi wa taifa kwa ujumla
Chanzo: Paul Mathius
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Featured post
MASIKINI WEEE!!!!! KICHANGA CHA SIKU MOJA CHAOKOTWA KATIKA KIWANJA CHA MPIRA AZIMIO
Na;Ezelina Yuda Mtoto mchanga mwenye jinsia ya Kike anayekadiriwa kuwa wa siku 1 ameokotwa akiwa hai kandokando ya uwanja wa azimio ...
-
Kabale, Uganda. Mpinzani mkuu wa Uganda na kiongozi wa Forum for Democratic Change (FDC) Dk Kizza Besigye amekamatwa. ...
-
KATAVI Shule ya msingi Misunkumilo iliyopo Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi inakabiliwa na uhaba wa vyumba vya madarasa na madawati...
-
KIGOMA . VITUO vya afya Uvinza na Nguruka vilivyopo wilayani Uvinza Mkoa wa Kigoma vinakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo yaup...

No comments:
Post a Comment