Tuesday, 26 September 2017
Baadhi ya wakazi wa Halmashauri ya manispaa ya mpanda wamelalamikia tabia ya kutozwa hela ya mifuko ya kuwekea taka.
MPANDA
Baadhi ya wakazi wa Halmashauri ya manispaa ya mpanda Mkoa wa Katavi wamelalamikia tabia ya kutozwa
hela ya mifuko ya kuwekea taka na baadhi ya vikundi ambavyo vimejisajili kwa
ajili ya kukusanya taka.
Hata hivyo wameeleza kuwa jambo hilo si sahihi kwani fedha hizo hazina uhalali kwa wananchi huku wakazi hao wakiwa
na mifuko yao ya kuhifadhia taka
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Featured post
MASIKINI WEEE!!!!! KICHANGA CHA SIKU MOJA CHAOKOTWA KATIKA KIWANJA CHA MPIRA AZIMIO
Na;Ezelina Yuda Mtoto mchanga mwenye jinsia ya Kike anayekadiriwa kuwa wa siku 1 ameokotwa akiwa hai kandokando ya uwanja wa azimio ...
-
Kabale, Uganda. Mpinzani mkuu wa Uganda na kiongozi wa Forum for Democratic Change (FDC) Dk Kizza Besigye amekamatwa. ...
-
NSIMBO Soko la Katumba Mnyaki linalomilikiwa na halamshauri ya Wilaya ya Nsimbo Mkoani Katavi halina choo tangu kuanzishwa kwake hali...
-
TABORA Wananchi wa kijiji cha makibo kata ya Nyahua wilayani sikonge mkoani Tabora wamelalamikia ujenzi wa madaraja mabovu ya baraba...

No comments:
Post a Comment