![]() |
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu |
Friday, 19 January 2018
Uagizaji wa dawa nje wagharimu Sh224 bilioni.
DAR ES SALAAM
Serikali
imesema kila mwaka inapoteza mapato ya dola 100 milioni (Sh224 bilioni kwa
kuagiza dawa nje ya nchi.
Akizungumza
katika uzinduzi wa toleo la tano la mwongozo wa matibabu nchini na orodha ya
taifa ya dawa muhimu Waziri wa Afya,
Ummy Mwalimu amesema Serikali itaboresha upatikanaji wa dawa kwa kuimarisha
sekta ya viwanda.
Ummy
ameeleza kuwa kuboreshwa kwa sekta hiyo kutapunguza matumizi ya fedha za kigeni
kuagiza dawa kutoka nje, badala yake kujikita katika kuimarisha uzalishaji wa
dawa kwenye viwanda vya ndani.
Aidha
amefafanua kuwa katika kudhibiti kuenea
kwa usugu wa vimelea vya magonjwa ya kuambukiza, mwongozo umefuata maelekezo
yaliyotolewa na Shirika la Afya Duniani (WHO) ambayo dawa aina ya antibiotiki
zitatakiwa kutumika kwa umakini mkubwa.
Source Mwananchi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Featured post
MASIKINI WEEE!!!!! KICHANGA CHA SIKU MOJA CHAOKOTWA KATIKA KIWANJA CHA MPIRA AZIMIO
Na;Ezelina Yuda Mtoto mchanga mwenye jinsia ya Kike anayekadiriwa kuwa wa siku 1 ameokotwa akiwa hai kandokando ya uwanja wa azimio ...
-
Kabale, Uganda. Mpinzani mkuu wa Uganda na kiongozi wa Forum for Democratic Change (FDC) Dk Kizza Besigye amekamatwa. ...
-
KATAVI Shule ya msingi Misunkumilo iliyopo Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi inakabiliwa na uhaba wa vyumba vya madarasa na madawati...
-
KIGOMA . VITUO vya afya Uvinza na Nguruka vilivyopo wilayani Uvinza Mkoa wa Kigoma vinakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo yaup...

No comments:
Post a Comment