![]() |
| Picha na zao la Tumbaku |
Friday, 19 January 2018
Wakulima wa zao la Tumbaku wa Chama Cha Msingi Cha Ukonongo katika halmashauri ya Wilaya ya Mlele Mkoa wa Katavi wamelalamikia kucheleweshewa malipo ya zao la tumbaku katika msimu wa mwaka uliopita.
MLELE
Wakulima wa zao la Tumbaku wa Chama Cha Msingi
Cha Ukonongo katika
halmashauri ya Wilaya ya Mlele Mkoa wa Katavi wamelalamikia kucheleweshewa
malipo ya zao la tumbaku katika msimu wa mwaka uliopita.
Kwa upande wake mwenyekiti wa
chama hicho cha msingi Godfley Malilo amesema changamoto iliyopo ni uingizwaji
wa ushuru wa chama umecheleweshwa lakini hatua za kuanza malipo hayo
yanatarajiwa kuaanza wiki ijayo.
Chama hicho cha msingi
kinawakulima wa tumbaku zaidi ya elfu mbili na kimekuwa kikichangia kwa kiasi
kikubwa katika pato la halimshauri ya wilaya ya Mlele.
Chanzo: Paul mathius
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Featured post
MASIKINI WEEE!!!!! KICHANGA CHA SIKU MOJA CHAOKOTWA KATIKA KIWANJA CHA MPIRA AZIMIO
Na;Ezelina Yuda Mtoto mchanga mwenye jinsia ya Kike anayekadiriwa kuwa wa siku 1 ameokotwa akiwa hai kandokando ya uwanja wa azimio ...
-
Kabale, Uganda. Mpinzani mkuu wa Uganda na kiongozi wa Forum for Democratic Change (FDC) Dk Kizza Besigye amekamatwa. ...
-
KATAVI Shule ya msingi Misunkumilo iliyopo Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi inakabiliwa na uhaba wa vyumba vya madarasa na madawati...
-
KIGOMA . VITUO vya afya Uvinza na Nguruka vilivyopo wilayani Uvinza Mkoa wa Kigoma vinakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo yaup...

No comments:
Post a Comment