KATAVI
Tuesday, 5 December 2017
Watu wenye ulemavu Mkoani Katavi,wameeleza kusikitishwa na kauli ya serikali kuwa haina pesa za kuwawezesha kufanya maadhimisho ya siku ya watu wenye ulemavu duniani.
Watu wenye ulemavu Mkoani
Katavi,wameeleza kusikitishwa na kauli ya serikali kuwa haina pesa za
kuwawezesha kufanya maadhimisho ya siku ya watu wenye ulemavu duniani.
Kwa upande wake Mwenyekiti wa shirikisho
la vyama vya watu wenye ulemavu SHIVYAWATA Mkoani Katavi Issack Mlela amesema
serikali kutowawezesha kufanya maadhimisho ni kutowatendea haki wakati serikali
inasema mapato yameongezeka serikalini.
Maadhimisho ya mwaka huu kitaifa
yamefanyika Mkoani Simiyu na kaulimbiyu ikisema ‘’Badilika kuelekea jamii jumuishi na imara kwa wote’’.
SOURCE: ISSACK GERALD
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Featured post
MASIKINI WEEE!!!!! KICHANGA CHA SIKU MOJA CHAOKOTWA KATIKA KIWANJA CHA MPIRA AZIMIO
Na;Ezelina Yuda Mtoto mchanga mwenye jinsia ya Kike anayekadiriwa kuwa wa siku 1 ameokotwa akiwa hai kandokando ya uwanja wa azimio ...
-
KATAVI Shule ya msingi Misunkumilo iliyopo Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi inakabiliwa na uhaba wa vyumba vya madarasa na madawati...
-
KIGOMA . VITUO vya afya Uvinza na Nguruka vilivyopo wilayani Uvinza Mkoa wa Kigoma vinakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo yaup...
-
NSIMBO Soko la Katumba Mnyaki linalomilikiwa na halamshauri ya Wilaya ya Nsimbo Mkoani Katavi halina choo tangu kuanzishwa kwake hali...

No comments:
Post a Comment