Friday, 16 February 2018
Wakazi wa kijiji cha Manga katika Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi,wameiomba serikali kuwaongezea mabomba ya maji ili kuendana na idadi ya wananchi waliopo katika kijiji hicho.
MPANDA
Wakazi wa
kijiji cha Manga katika Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda Mkoani
Katavi,wameiomba serikali kuwaongezea mabomba ya maji ili kuendana na idadi ya
wananchi waliopo katika kijiji hicho.
Kwa mjibu
wa serikali ya awamu ya tano ya jamhuri ya muungano wa Tanzania ni kuwa maeneo
yote nchini yanatarjiwa kuwa na maji kwa asilimia 95 ifikapo mwaka 2020.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Featured post
MASIKINI WEEE!!!!! KICHANGA CHA SIKU MOJA CHAOKOTWA KATIKA KIWANJA CHA MPIRA AZIMIO
Na;Ezelina Yuda Mtoto mchanga mwenye jinsia ya Kike anayekadiriwa kuwa wa siku 1 ameokotwa akiwa hai kandokando ya uwanja wa azimio ...
-
Kabale, Uganda. Mpinzani mkuu wa Uganda na kiongozi wa Forum for Democratic Change (FDC) Dk Kizza Besigye amekamatwa. ...
-
Serikali ya mtaa wa Kampuni Kata ya Misunkumilo Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi imewaomba wataalamu wa maji Manispaa ya Mpanda kuchungu...
-
TABORA Wananchi wa kijiji cha makibo kata ya Nyahua wilayani sikonge mkoani Tabora wamelalamikia ujenzi wa madaraja mabovu ya baraba...

No comments:
Post a Comment