Monday, 15 January 2018
Watu 1,500 wamehamishwa kutoka visiwa vya Papua New Guinea, kutokana na mlipuko wa volcano.
Port Mores
Watu 1,500 wamehamishwa kutoka visiwa vya Papua
New Guinea, kutokana na mlipuko wa volcano.
Volkano katika kisiwa cha Kodovar ilianza kutoa
moshi na majivu wiki iliyopita, na kusababisha kuhamishwa kwa zaidi ya watu 500
kwenda kisiwa kilicho karibu cha Blup Blup.
Baada ya mlipuko kuzidi sasa wale waliokimbilia
kisiwa cha Kodovar sasa watahamishiwa kwingine.
Papua New Guinea ni nyumbani kwa milima kadhaa
ya volkano.Walioshuhudia huko Blup
Blup kusini mwa kisiwa cha Kadovar waliripoti mlipuko mkubwa kutoka kwa volkano
siku ya Ijumaa na moto mkubwa ukitoka kwenye mlima huo.
Wanasayansi baadaye waligundua viwango vikubwa
vya gesi ya sulphur dioxide kutoka na volkano hiyo.
Chanzo :Alinanuswe
Edward
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Featured post
MASIKINI WEEE!!!!! KICHANGA CHA SIKU MOJA CHAOKOTWA KATIKA KIWANJA CHA MPIRA AZIMIO
Na;Ezelina Yuda Mtoto mchanga mwenye jinsia ya Kike anayekadiriwa kuwa wa siku 1 ameokotwa akiwa hai kandokando ya uwanja wa azimio ...
-
Kabale, Uganda. Mpinzani mkuu wa Uganda na kiongozi wa Forum for Democratic Change (FDC) Dk Kizza Besigye amekamatwa. ...
-
KIGOMA . VITUO vya afya Uvinza na Nguruka vilivyopo wilayani Uvinza Mkoa wa Kigoma vinakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo yaup...
-
NSIMBO Soko la Katumba Mnyaki linalomilikiwa na halamshauri ya Wilaya ya Nsimbo Mkoani Katavi halina choo tangu kuanzishwa kwake hali...

No comments:
Post a Comment