Serikali imetoa ruksa kwa Halmashauri nchini kuajiri maafisa watendaji wa kata pale inapoona kunaupungufu.
DODOMA
Serikali
imetoa ruksa kwa Halmashauri nchini kuajiri maafisa watendaji wa kata pale inapoona
kunaupungufu.
Kauli
hiyo imetolewa leo Bungenina Waziri
mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kasimu Majaliwa alipokuwa akijibu maswali
yaliyo ulizwa na wabunge mapema leo.
Waziri
Mkuu amefafanua kuwa serikali inatambua uwepo wa upungufu wa watumishi wa kada
mbali mbali hali iliyosababishwa na zoezi la uhakiki wa watumishi hewa
ilikiwemo vyeti feki.
Halmashauri
nyingi nchini Tanzania zimekumbwa na tatizo hilo la uhaba wa watumishi jambo
linalotajwa kuwa kikwazo katika mstakabali wa maendeleo.
No comments:
Post a Comment