![]() |
| Wakulima wa mwani zanzibar |
Wednesday, 15 November 2017
Serikali itazidisha juhudi katika kulisimamia zao la mwani ili liweze kutoa tija kwa wakulima wazao hilo.
Waziri wa Kilimo Maliasili Mifugo na Uvuvi Zanzibar Hamad Rashid Mohammed
amesema serikali itazidisha juhudi katika kulisimamia zao la mwani ili
liweze kutoa tija kwa wakulima wazao hilo.
Akizungumza na vyombo vya kufuatia malalamiko ya
wakulima kuwa na bei ndogo ya zao hilo amesema
kwasasa bei ya mwani inashuka kutokana na kuuzwa nje ya nchi lakini
ili kuwarahisishia wakulima watawapatia mashine za kusagia
mwani ambazo zitasaidia kuondokana na tatizo hilo.
Amesema kwa sasa wameshaweka mashine mbili kwa
upande wa unguja na mbili wanatarajia kupeleka pemba
ili kurahisisha upatikanaji wa unga wa mwani
ambao unauzwa kwa bei ghali.
Aidha amewataka wakulima kuongeza jitihada juu ya
kilimo hicho kwani serikali inaendeleza juhudi za kuhakikisha
zao hilo linawanufaisha wakulima kutokana na umuhimu
wake katika matumizi mbalimbali ya binadamu.
Source: mwananchi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Featured post
MASIKINI WEEE!!!!! KICHANGA CHA SIKU MOJA CHAOKOTWA KATIKA KIWANJA CHA MPIRA AZIMIO
Na;Ezelina Yuda Mtoto mchanga mwenye jinsia ya Kike anayekadiriwa kuwa wa siku 1 ameokotwa akiwa hai kandokando ya uwanja wa azimio ...
-
KATAVI Shule ya msingi Misunkumilo iliyopo Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi inakabiliwa na uhaba wa vyumba vya madarasa na madawati...
-
KIGOMA . VITUO vya afya Uvinza na Nguruka vilivyopo wilayani Uvinza Mkoa wa Kigoma vinakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo yaup...
-
NSIMBO Soko la Katumba Mnyaki linalomilikiwa na halamshauri ya Wilaya ya Nsimbo Mkoani Katavi halina choo tangu kuanzishwa kwake hali...

No comments:
Post a Comment