Friday, 10 November 2017
Wizara ya Mali asili na Utalii imesema haina mpango wa kuruhusu shughuri za kilimo katika Kijiji cha Matandalani na Igongwe kata ya Stalike
Wizara ya Mali
asili na Utalii imesema haina mpango wa kuruhusu shughuri za kilimo katika Kijiji
cha Matandalani na Igongwe kata ya Stalike iliyopo mkoani Katavi.
Katika hatua
nyingine amefafanua uwepo wa mpango wa kuyapitia upya maeneo hayo ili kuona
uwezekano wa kubadilisha matumizi pale itakapo onyesha ulazima huo.
Mara kwa mara
mamia ya wakazi mkoani Katavi wamekuwa wakiondolewa kinguvu katika maeneo mbali mbali ya
vitongoji na Vijiji kwa madai ya kuvamia misitu.
Source :Alinanuswe Edward
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Featured post
MASIKINI WEEE!!!!! KICHANGA CHA SIKU MOJA CHAOKOTWA KATIKA KIWANJA CHA MPIRA AZIMIO
Na;Ezelina Yuda Mtoto mchanga mwenye jinsia ya Kike anayekadiriwa kuwa wa siku 1 ameokotwa akiwa hai kandokando ya uwanja wa azimio ...
-
Kabale, Uganda. Mpinzani mkuu wa Uganda na kiongozi wa Forum for Democratic Change (FDC) Dk Kizza Besigye amekamatwa. ...
-
KIGOMA . VITUO vya afya Uvinza na Nguruka vilivyopo wilayani Uvinza Mkoa wa Kigoma vinakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo yaup...
-
NSIMBO Soko la Katumba Mnyaki linalomilikiwa na halamshauri ya Wilaya ya Nsimbo Mkoani Katavi halina choo tangu kuanzishwa kwake hali...

No comments:
Post a Comment