Wednesday, 6 December 2017
Umoja wa Afrika na Umoja wa Mataifa wamesema watawaondoa zaidi ya wahamiaji 15,000 waliokwama nchini Libya ifikapo mwishoni mwa mwaka huu.
ADIS ABABA
Umoja wa Afrika
na Umoja wa Mataifa wamesema watawaondoa zaidi ya wahamiaji 15,000 waliokwama
nchini Libya ifikapo mwishoni mwa mwaka huu.
Tangazo hilo linakuja baada ya kufanyika
mkutano wa kilele kati ya Umoja wa Afrika na Umoja wa Mataifa wiki iliyopita
nchini Cote d'Ivoire ambapo viongozi wa Afrika na Ulaya wamekubaliana kuwaondoa
kiasi ya wahamiaji 4,000 waliokwama nchini Libya.
Wahamiaji kati ya
400,000 na 700,000 wengi wao kutoka mataifa ya kusini mwa jangwa la Sahara
inaripotiwa wanaishi katika makambi kadhaa nchini Libya.
Umoja
wa Mataifa ukikadiria kuwa kuna zaidi ya wahamiaji milioni tano
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Featured post
MASIKINI WEEE!!!!! KICHANGA CHA SIKU MOJA CHAOKOTWA KATIKA KIWANJA CHA MPIRA AZIMIO
Na;Ezelina Yuda Mtoto mchanga mwenye jinsia ya Kike anayekadiriwa kuwa wa siku 1 ameokotwa akiwa hai kandokando ya uwanja wa azimio ...
-
Kabale, Uganda. Mpinzani mkuu wa Uganda na kiongozi wa Forum for Democratic Change (FDC) Dk Kizza Besigye amekamatwa. ...
-
Serikali ya mtaa wa Kampuni Kata ya Misunkumilo Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi imewaomba wataalamu wa maji Manispaa ya Mpanda kuchungu...
-
TABORA Wananchi wa kijiji cha makibo kata ya Nyahua wilayani sikonge mkoani Tabora wamelalamikia ujenzi wa madaraja mabovu ya baraba...

No comments:
Post a Comment