Tuesday, 9 January 2018
Tume ya uchaguzi ya Misri imetangaza kuwa, uchaguzi wa urais nchini humo utafanyika tarehe 26 hadi 28 mwezi Machi mwaka huu, na matokeo ya mwisho yatatangazwa tarehe 1, mwezi Mei.
CAIRO
Tume ya uchaguzi ya Misri imetangaza kuwa,
uchaguzi wa urais nchini humo utafanyika tarehe 26 hadi 28 mwezi Machi mwaka
huu, na matokeo ya mwisho yatatangazwa tarehe 1, mwezi Mei.
Mwezi Novemba mwaka jana rais Sisi alisema
uchaguzi mkuu utafanyika mwezi Machi na Aprili kama ilivyopangwa, na kusisitiza
kuwa hatajaribu kubadilisha ukomo wa kikatiba wa mihula miwili ya urais.
Rais Sisi ametangaza rasmi kugombea urais, na
anatarajiwa kupata ushindi kwenye uchaguzi huo, kutokana na kutokuwepo kwa
mpinzani mwenye nguvu.
Chanzo: Bbc swahili
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Featured post
MASIKINI WEEE!!!!! KICHANGA CHA SIKU MOJA CHAOKOTWA KATIKA KIWANJA CHA MPIRA AZIMIO
Na;Ezelina Yuda Mtoto mchanga mwenye jinsia ya Kike anayekadiriwa kuwa wa siku 1 ameokotwa akiwa hai kandokando ya uwanja wa azimio ...
-
Kabale, Uganda. Mpinzani mkuu wa Uganda na kiongozi wa Forum for Democratic Change (FDC) Dk Kizza Besigye amekamatwa. ...
-
KIGOMA . VITUO vya afya Uvinza na Nguruka vilivyopo wilayani Uvinza Mkoa wa Kigoma vinakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo yaup...
-
NSIMBO Soko la Katumba Mnyaki linalomilikiwa na halamshauri ya Wilaya ya Nsimbo Mkoani Katavi halina choo tangu kuanzishwa kwake hali...

No comments:
Post a Comment