Friday, 5 January 2018
Wakazi wengi wa Mtaa wa Msasani na Tambukareli Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi hawajahama kupisha mipaka ya hifadhi ya reli licha ya kutakiwa kuondoka kabla ya mwezi Januari mwaka huu.
Wakazi
wengi wa Mtaa wa Msasani na Tambukareli Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi hawajahama
kupisha mipaka ya hifadhi ya reli licha ya kutakiwa kuondoka kabla ya mwezi
Januari mwaka huu.
Kwa
upande wake mwenyekiti wa Mtaa wa Msasani Jonard Makoli amekanusha wajumbe wa
serikali kujipatia viwanja zaidi ya kimoja ambapo amesema mchakato wa majina ya
wanaotakiwa kupata viwanja ilipitia katika vikao na mikutano ya hadhara.
Zaidi
ya wakazi 280 wa mitaa ya Msasani na Tambukareli wameathiriwa na tangazo la
bomoabomoa lililotolewa na mwishoni mwa mwaka jana na mamlaka inayohusika na
reli Tanzania.
Chanzo:Issack
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Featured post
MASIKINI WEEE!!!!! KICHANGA CHA SIKU MOJA CHAOKOTWA KATIKA KIWANJA CHA MPIRA AZIMIO
Na;Ezelina Yuda Mtoto mchanga mwenye jinsia ya Kike anayekadiriwa kuwa wa siku 1 ameokotwa akiwa hai kandokando ya uwanja wa azimio ...
-
Kabale, Uganda. Mpinzani mkuu wa Uganda na kiongozi wa Forum for Democratic Change (FDC) Dk Kizza Besigye amekamatwa. ...
-
NSIMBO Soko la Katumba Mnyaki linalomilikiwa na halamshauri ya Wilaya ya Nsimbo Mkoani Katavi halina choo tangu kuanzishwa kwake hali...
-
TABORA Wananchi wa kijiji cha makibo kata ya Nyahua wilayani sikonge mkoani Tabora wamelalamikia ujenzi wa madaraja mabovu ya baraba...

No comments:
Post a Comment