Thursday, 15 February 2018
Waumini wa dini ya kikristo mkoani Katavi wametakiwa kuwa karibu na Mungu wakati wote na kuacha tabia ya kumkumbuka Mungu katika kipindi cha kwaresima pekee.
KATAVI
Waumini wa dini ya kikristo
mkoani Katavi
wametakiwa kuwa karibu na Mungu wakati wote na kuacha tabia
ya kumkumbuka Mungu katika kipindi cha
kwaresima pekee.
Aidha ameeleza kuwa katika kipindi hiki cha kwarezima
waumini wanafunga na kutubu kwa yale
waliyo mkosea Mungu ili aweze kuwarehemu na kuwasamehe makosa .
Mwezi wa Kwarezima umeanza jana kwa waumini wa kikristo
ambao utahitimishwa mwezi wa Nne tarehe
moja siku ya pasaka ambayo huadhimishwa kila mwaka.
CHANZO:PAULO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Featured post
MASIKINI WEEE!!!!! KICHANGA CHA SIKU MOJA CHAOKOTWA KATIKA KIWANJA CHA MPIRA AZIMIO
Na;Ezelina Yuda Mtoto mchanga mwenye jinsia ya Kike anayekadiriwa kuwa wa siku 1 ameokotwa akiwa hai kandokando ya uwanja wa azimio ...
-
Kabale, Uganda. Mpinzani mkuu wa Uganda na kiongozi wa Forum for Democratic Change (FDC) Dk Kizza Besigye amekamatwa. ...
-
KIGOMA . VITUO vya afya Uvinza na Nguruka vilivyopo wilayani Uvinza Mkoa wa Kigoma vinakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo yaup...
-
NSIMBO Soko la Katumba Mnyaki linalomilikiwa na halamshauri ya Wilaya ya Nsimbo Mkoani Katavi halina choo tangu kuanzishwa kwake hali...

No comments:
Post a Comment